Burudani

Rapper Swae Lee amkatia tamaa mtoto wa Obama

Rapper Swae Lee amekata tamaa kumpata mtoto wa kwanza wa Obama, Malia.

Swae amefikia hatua hiyo baada ya kuonekana jitihada za kumpata mrembo huyo kuwa ngumu.

Akiongea na mtandao wa TMZ, rapper huyo mwenye miaka 21 amesema, “I give up. They’d probably pull up 20 black cars. man, I’d have to get my own secret service. I got, like, four I got my eyes on. Can’t tell you just yet.”

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents