Burudani

Rapper Common amkingia kifua Snoop Dogg kesi ya Donald Trump

Mastaa wamarekani wanazidi kujitokeza kumkingia kifua Snoop Dogg ambaye siku chache zilizopita aliachia video ya wimbo wake ‘Lavender’ ambayo inaonekana kumkashfu Rais wa nchi hiyo Donald Trump.

Rapper Common ameungana na T.I pamoja na Bow Wow kumtetea Snoop. Akiongea na mtandao wa TMZ wakati akitoka mazoezini mjini Los Angeles, Common amesema, hip hop inaegemea katika uhuru wa kuongea.

“Hip Hop always being about freedom of expression. That was most powerful for thing, hip hop like a voice thing powerful. Have you going think a day the public enemy you faithful with Kendrick Lamar,” amesema.

“Like hip hop artist have always speaking up they feel. If the president don’t like it, if the politician don’t like it i was listen the careless on his talking about. If you don’t like whats going on you speak up, we are tired to do with people,” ameongeza.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents