Burudani
Rapper Baghdad kutoa mkwanja kila siku kwa mashabiki wake, fahamu mchakato ulivyo
Rapper Baghdad amewaandalia zawadi ya shilingi 5,000 kila siku mashabiki wake watakaosupport ngoma yake mpya, Haters.
Akiongea na Bongo5, Baghdad ambaye pia ni mtangazaji wa EFM amesema:
Shindano la kutoa buku 5 kila siku kwenye Instagram, Facebook, naWhatsaap limeanza rasmi leo. Masharti ni kufanya wimbo wa Haiters -baghdad ft Drea , kuwa muito wa wakupigiao, na kisha kuandika namba yako ya simu kwenye account yangu yoyote, fb, instagram au whatsaap.. nitakupigia na nitakuuliza swali ukipata mkwanja wako. Kwa watumiaji wa Airtel ingia kwenye upande wako wa sms andika CT 4180356 kisha tuna ujumbe kwenda 15578. Na kwa watumiaji wa Vodacom ingia kwenye uwanja Wa kuandika ujumbe mfupi andikq BF3509 kisha tuma kwenda 15577.