Burudani

Rapper AKA akerwa na ubabaishaji uliopo katika tuzo

Rapper AKA wa Afrika Kusini ameamua kutoa yake ya moyoni kuonyesha kuwa haridhishwi na utoaji wa tuzo za muziki barani.

Jumatano hii AKA aliamua kutumia mtandao wa Twitter kuziongelea mbovu tuzo hizo na kuandika kuwa yeye ndio msanii bora wa mwaka 2017.

“Awards are played out man. They’re too political. They can be bought. They depend on how nice you are to people,” hii ni moja kati ya ujumbe wa rapper huyo kwenye mtandao huo.

AKA aliandika ujumbe mwingine uliosomeka, “AKA – “ARTIST OF THE YEAR 2017” … save this tweet. .”

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents