Burudani
Rally Benz – Nimpende Nani?
Msanii wa muziki wa kizazi kipya wa Tanzania ambaye kwa sasa anaishi nchini Marekani, Rally Benz ameachia wimbo wake mpya uitwao Nimpende Nani?. Muimbaji huyo mwenye kipaji cha hali ya juu amekuwa akifanya nyimbo zake nchini humo na kuziachia kupitia mitandao ya kijamii. Sikiliza baadhi ya kazi zake.
https://youtu.be/iQUDJSeYXG4
https://youtu.be/zHhnaQwMcx0