Habari
Rais Magufuli ateua mabalozi sita kuwakilisha Tanzania katika nchi mbalimbali
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Magufuli, Alhamisi hii ameteua mabalozi sita kuwakilisha Tanzania katika nchi mbalimbali.
Katibu Mkuu kiongozi, Balozi John Kijazi amewataja Mabalozi walioteuliwa pamoja na vituo vyao vya kazi.
Hii taarifa yake:
BY: Emmy Mwaipopo