Habari

Rais Magufuli ateua mabalozi sita kuwakilisha Tanzania katika nchi mbalimbali

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Magufuli, Alhamisi hii ameteua mabalozi sita kuwakilisha Tanzania katika nchi mbalimbali.

Katibu Mkuu kiongozi, Balozi John Kijazi amewataja Mabalozi walioteuliwa pamoja na vituo vyao vya kazi.

Hii taarifa yake:

BY: Emmy Mwaipopo

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents