Habari
Rais Magufuli asema haya Twitter baada ya kugunduliwa gesi ya Helium
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Magufuli ametoa neno lake kupitia akaunti yake ya Twitter baada ya kugundulika kuwa Tanzania tumebarikiwa gesi ya Helium.
Hivi karibuni watafiti kutoka chuo kikuu cha Oxford na kile cha Durham kwa ushirikiano na wataalumu wa madini kutoka Norway waligundua uwepo wa takriban futi bilioni 54 za gesi hiyo ya barafu kama inavyofahamika.
Huu ndiyo ujumbe wa Magufuli: