Habari

Rais Magufuli amteua Mkurugenzi Mkuu wa TCRA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Magufuli amemteua Mhandisi James Mitayakingi Kilaba kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) ambapo hapo mwazo alikuwa akiikaimu nafasi hiyo baada ya Dkt. Ally Yahaya Simba aliyekuwa akishikilia nafasi hiyo kutenguliwa.

magufuli (1)

Soma taarifa hii kutoka Ikulu.

whatsapp-image-2016-10-09-at-15-15-46-1

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents