Habari
Rais Magufuli amteua Mkurugenzi Mkuu wa TCRA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Magufuli amemteua Mhandisi James Mitayakingi Kilaba kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) ambapo hapo mwazo alikuwa akiikaimu nafasi hiyo baada ya Dkt. Ally Yahaya Simba aliyekuwa akishikilia nafasi hiyo kutenguliwa.
Soma taarifa hii kutoka Ikulu.