Habari
Rais Magufuli amteua Ibrahimu Juma kuwa kaimu Jaji Mkuu wa Tanzania
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli, amemteua Jaji Ibrahimu Juma kuwa kaimu Jaji mkuu wa Tanzania. Profesa Ibrahimu anachukua nafasi ya Jaji Othuman Chande ambaye amestaafu.
Hii taarifa yake:
BY: Emmy Mwaipopo