Habari

Rais Magufuli ampongeza Donald Trump kwa kushinda urais Marekani

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli, amemuandikia ujumbe wa kumpongeza Rais mpya wa Marekani Donald Trump baada ya kushinda na kuwa rais mpya wa nchi hiyo.

magufuli

Rais Magufuli amemuandikia ujumbe huo katika mtandao wa Twitter kutoa hongera zake kwa kiongozi huyo aliyekuwa akishindana na Hillary Clinton wa chama cha Republican.

Donald ameshinda majimbo ya uchaguzi 276, huku Clinton akishinda 218.

BY: EMMY MWAIPOPO

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents