Burudani
Q Chillah adai wimbo wake na Patoranking umevujishwa
Q-Chillah amefunguka kuwa wimbo wake mpya aliomshirikisha Patoranking wa Nigeria ‘Koku’ umeachiwa bila ya idhini yake.
Kupitia mtandao wa Instagram, muimbaji huyo ameandika:
Morning wadau naomba niwajuze kwamba wimbo wangu mpya wa koku q chief ft Patoranking fire bado haujatoka ila kuna MTU mmoja ameamua kuivujisha kwenye mitandao kwa lengo la kuniharibia nawaomba msipotoshwe original version soon at mkito inshaalah mungu ataweka mikono take ameen