Burudani

Pipi adai yeye na mume wake hutumia simu moja

Muimbaji wa Bongo Flava, Pipi amedai kuwa yeye na mume wake hutumia simu moja.

11358299_1665511617016969_1822427429_n

Pipi alikuwa akiongea na kipindi cha Leo Tena cha Clouds FM.

“Unajua kama mtu sio mwaminifu katika ndoa yako hiyo ndio itakuwa tabu na mtu akiamua kucheat anaweza hata bila simu japo watu wengine wanaona ni wivu lakini hiyo ni misingi ambayo tumejiwekea tokea tulivyoana,” alisema.

“Mimi na mume wangu tuna miaka kumi sasa hivi maana tokea tulivyokuwa hatujafunga ndoa hadi sasa hivi ni miaka kumi inafika. Mimi na mume wangu tuna misingi mizuri ya uaminifu, na wala hatuna mambo mengi kwa hiyo hatuna sababu ya kufichana, kwangu mimi naona ni kawaida tu hata yeye,” aliongeza.

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents