Picha: Wakazi wa Tabora wajitokeza kupokea shangwe za Serengeti Fiesta 2014
Wakazi wa mkoa wa Tabora na miji mingine ya karibu September 14 walijitokeza kwa wingi ndani ya uwanja Ali Hassan Mwinyi mjini humo kushuhudia burudani ya Serengeti Fiesta.
Wakazi wa mkoa wa Tabora na miji yake wakiwa wamejitokeza kwa wingi kwenye show ya fiesta
Show hiyo ambayo ilijaa ushindani kwa kila msanii kutaka kumfunika mwenzake kutokana na mashabiki wa muziki waliojitokeza uwanjani hapo kushangilia bila kuchoka.
Khadija akifanya yake
Linah akifanya mambo yake katika jukwaa la fiesta
Shilole wakiwa amebambiwa na mpenzi wake Nuh
Nuh mziwanda
Chege na Temba
Nay Wa Mitego
Fid Q ndani ya Steji
Barakah Da Prince na Mo Music
Lugha kali mtangazaji wa Clouds TV
Ommy Dimpoz akifanya show
Shilole na wenzake
Linah akijiachia
Linah na Khadija wakifanya yao
Dudu Baya alikuwa kama surprise kwa mashabiki wa Tabora
Mo Music
Nick wa Pili
Young Killer akiwa na Ice Boy
Mwanadada Recho
Director Shaibu
Stamina na Fid Q