Picha/Video:Diamond apokewa kwa shangwe uwanja ndege wa Mwalimu J.K Nyerere Dar
Hit maker wa My Number One , Nasib Abdul aka Diamond Platinum ameingia Dar es salaam usiku wa July 10 akitokea Marekani. Diamond ambae aliachia video mbili july 7, Mdogo Mdogo na Bum Bum , amepokewa na ndugu ,jamaa na mashabiki wa muziki wake huku wakiwa na ujumbe mzuri kwenye mabango.
Diamond baada ya kuwasili katika uwanja wa Mwalimu J.K Nyerere, Dar es salaam
Hizi ni baadhi ya picha za mapokezi ya Diamond Platnumz.
Aunt Ezekiel akiwa na mabango yenye ujumbe kwa Diamond
Babu Tale akifanya mahojiano na wanahabari
Mama Nasib Abdul akimsubiria mwanae
Mashabiki wa Diamond wakiwa na mabango yenye ujumbe
Wadau wa muziki wakimsubiri Diamond
Wadau wakicheza na Diamond
Wema Sepetu na Babu Tale wakimsubiri Diamond
Baunsa wa Diamond akitoa mizigo
Dada wa Diamond Esma akimsubiria kumuona kaka yake
Diamond akicheza kidogo na mashabiki wa muziki wake
Diamond akiwa mwenye furaha baada ya kuona mapokezi mazuri
Diamond akiwasili uwanja wa ndege wa Mwalimu J.K Nyerere
Diamond baada ya kuwasili katika uwanja Mwalimu J.K Nyerere Airpot, Dar es salaam
Mama Diamond akiwa na mwanae Esma