Diamond Platnumz

Picha: Zari aangua kilio kwenye makumbusho ya mauaji ya Rwanda

Tumuute Crying Beauty kwa picha hizi. Mrembo na shemeji/wifi yetu wa Uganda, Zari The Bosslady alijikuta akibubujikwa na machozi kutoka na na picha na maelezo aliyopewa kwenye jumba la makumbusho ya mauaji ya kimbari ya Rwanda, lililopo kwenye mji mkuu, Kigali.

10865175_951987918163712_1494929224_n

Akiambatana na mchumba wake, Diamond Platnumz, Zari alishindwa kujizuia kulia kutokana na kumbukumbu ya kusikitisha ya mauaji hayo ya mwaka 1994 ambapo yapata watu 500,000–1,000,000 walipoteza maisha nchini humo.

“Everyone has a breaking point…. I was so touched,” aliandika mrembo huyo kwenye picha inayomuonesha akilia. “Women and children were raped then killed…. sad story. God bless you more Rwanda,” aliandika kwenye picha nyingine.

10899061_1587656218122656_1969652915_n

10865229_695792127204309_1443170291_n
Mkono kwa mkono: Diamond na Zari wakiingia kwenye makumbusho ya mauaji hayo

10903744_1519335171669573_1648014323_n

B6HNCZHCAAAJlQX

10891075_1556049474637070_1013048964_n

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents