Picha
Picha za watoto wa wasanii 10 wa Tanzania waliozaliwa hivi karibuni na jinsi walivyo sasa
Huenda miongoni mwa wasanii hawa 10 ulikuwa hufahamu kama wana watoto na wanaitwa baba/mama. Watoto hawa waliozaliwa hivi karibuni wameendelea kukua na hizi ni picha zao za hivi karibuni.
Lauren P Msechu – Peter Msechu
Maleeka Hamis Mwinjuma – Mwana FA
Sameer Herry – Mr Blue
Kayla Shettah Bilah – Shettah
Abigail – Rama Dee
Ivan – Roma
Ella – Grace Matata
Rummy – Bob Junior
Albert – JCB Makalla