Michezo

Tazama picha za uwanja mpya wa Chelsea utakaokamilika 2020

Huu ndio muonekano wa uwanja mpya wa klabu ya Chelsea ya Uingereza ambapo hadi mwaka 2020 ujenzi utakuwa umekamilika.

2BDA1DDF00000578-3217477-image-a-1_1441068450794

Kwa sasa klabu hiyo bado ipo kwenye mazungumzo na wakazi wa maeneo utakapojengwa uwanja huo. Mmiliki Chelsea, Roman Abramovich ana mpango wa kutumia pound milioni 500 katika ujenzi wa uwanja huo ili pia uwe na biashara tofauti inayojitegemea mbali na Chelsea.

2BDA13FB00000578-0-image-a-5_1441054173682

Ujenzi huo unatarajiwa kuanza baada ya miezi 9 kuanzia hivi sasa na klabu ya Chelsea itabidi kuhama uwanja wao wa Stamford Bridge na kutumia Uwanja wa Wembley kwa kipindi cha misimu mitatu.

2BDA18B000000578-0-image-a-4_1441054162717

2BDA18F000000578-0-image-a-1_1441054152161

Uwanja huo mpya wa Stamford Bridge utakuwa unachukua mashabiki 60,000 ambao ni sawa na uwanja wa Taifa wa Dar es Salaam. Uwanja wa sasa wa Chelsea unachukua watu wasiozidi 41,000.

2BDA21BD00000578-0-image-a-3_1441054159603

2BDA190700000578-0-image-a-2_1441054154803

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents