Picha za show mbalimbali kwenye Kili Music Awards 2014
Tazama picha za wasanii mbalimbali waliotumbuiza kwenye show ya Kili Music Awards 2014.
Ommy Dimpoz akitoa show
Madancer wa bendi ya Twanga Pepeta wakiwasubiria wenzao wa Extra Bongo walipokuwa wakishindana kutoa show
Hawa ni wachezaji wa Extra Bongo wakitoa burudani
Kalala Junior
Twanga ilifika zamu ya ndo ilikuwa kama hivyo
Hapa baada yakumaliza show kwa pamoja walikumbatiana kuonesha upendo
Weusi wakishambulia jukwaa, sio Mchezo
Madee naye alikuwepo kutoa show
Mpoki na Shadee
Fred Saganda akitoa burudani
Alice kushoto akifuatiwa na Vanessa Mdee,Maua na Meninah
Angel naye alikwepo
Cassim Mganga akimtunza Vanessa baada ya kuimba wimbo wake wa Awena vizuri
Menina aliimba Sumu ya Penzi wa Belle 9
Madancers vwa T Africa wakitoa Burudani
Kinga Maluu alikuwepo kutoa burudani
Kadjanito akiimba wimbo wake wa Maumivu
Diamond ane alitoa show nzuri sana
Wema akienda kumpongeza Diamond wakati wa show
Kundi la makondo likitoa show
Msami naye alikuwepo kutoa show
Ommy Dimpozi na Vanesa Mdee wakitoa show