Burudani

Picha: Wema Sepetu aja na mradi mpya ‘Wema na Jamii’

Wema Sepetu ameamua kurudisha kwa jamii.

Wema-8

Miss Tanzania huyo wa zamani na muigizaji wa filamu, ameanzisha mradi mpya alioupa jina ‘Wema na Jamii’ ambapo ameanza kuzunguka kwenye shule mbalimbali jijini Dar es Salaam kuongea na wanafunzi na kuwapa vitu mbalimbali.

Yeye mwenyewe anasema #WemaNaJamii #MkonoWaBaraka #MtotoWakoNiWangu. Tazama picha hizo chini.

Wema-9

wema-sepetu11

Wema-1

Wema-2

Wema-3

Wema-4

Wema-5

Wema-6

Wema-7

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents