Habari
Picha: Waziri wa Katiba na Sheria, Prof Kabudi awasili ofisini kwake Dodoma
Aliyepokea kijiti cha Dkt Harrison Mwakyembe kuwa Waziri wa Katiba na Sheria Profesa Palamagamba Kabudi amewasili ofisi kwake mjini Dodoma na kupokelewa na watumishi wa wizara hiyo
Hizi baadhi ya picha akipokelewa na watumishi wa wizara hiyo: