Bongo Movie
Picha: Wastara kuwa mpenzi wa JB ndani ya filamu mpya ‘Mzee wa Swaga’
Jacob Stephan na Wastara Juma wameingia mzigoni kushoot filamu mpya iitwayo ‘Mzee wa Swaga’ ambapo ndani ya filamu hiyo Wastara ni mpenzi wa JB.
Wastara akiwa na JB katika filamu mpya ya Mzee wa Swaga
Wastara ameiambia Bongo5 kuwa filamu hiyo iliyo chini ya kampuni ya Jerusalem film itahusisha mastaa mbalimbali katika tasnia hiyo. “Tupo location tunashoot filamu mpya ya kampuni ya Jerusalem film, wasani wengi wameigiza lakini mimi nimeigiza kama mpenzi wa JB ndiyo maana umena picha tukiwa mazingira fulani,” alisema Wastara. Hizi ni baadhi ya picha.