Burudani
Picha: Wasanii watembelea kiwanda cha bia ya Serengeti jijini Mwanza
Wasanii mbalimbali wa muziki ambao Jumamosi hii wanapanda kwenye jukwaa la Serengeti fFesta 2014 jijini Mwanza wamekitembelea kiwanda cha bia ya Serengeti kilichopo jijini humo kujionea utengenezaji wa bia. Hizi ni picha zao ziara hiyo.
Madee,Vanessa, Chege pamoja na Linah
Vanessa, Linah pamoja na Shadee
Mr Blue akitaka afafanuliwe jambo kwa undani