Picha
Picha: Wasanii watano wa Tanzania wanaofanana na mastaa wa Marekani!
Wanasema duniani wawili wawili sio? Kwa jicho letu hawa ni wasanii watano wa Tanzania wanaofanana na mastaa wa Marekani.
1. Cyrill Francisco aka Kamikaze na Dwight Howard (mchezaji wa timu ya kikapu ya Los Angeles Lakers). Picha ni hapo juu.
2. MwanaFa na rapper Fabolous
3. Godzilla na 50 Cent
4. Quick Rocka na T-Pain
5. Amini na Joe Thomas