Burudani
Picha: Wasanii wa Fiesta wahudhuria arobaini ya Mama Tunda Moro
Wasanii walioenda Morogoro kwaajili ya Fiesta, Jumapili hii mchana walienda nyumbani kwa Afande Sele mjini humo kuhudhuria arobaini ya aliyekuwa mke wake, Mama Tunda na kumpa pole. Hizi ni picha zao.
Afande Sele akiongea na wasanii na kuwashukuru kwa kufika katika arobaini ya Mama Tunda
Afande Sele akiwa na watoto wake, mkubwa anaitwa Tunda na mdogo Sanaa
Afande akisaliamna na Michuzi
Afande akisalimiana na Linah na Vanessa Mdee