Burudani
Picha: Wakazi wa Geita wapata shangwe za Serengeti Fiesta 2014
Shangwe za Serengeti Fiesta 2014 Jumamosi ya jana (14 September) zilidondoka ndani ya mkoa wa Geita katika ukumbi wa Desire na kuacha burudani ya nguvu kutoka kwa wasanii mbalimbali.
Mr Blue akiimba na mashabiki
Fiesta ambayo ni kwa mara ya kwanza kutoa buruduani Geita ilijumuisha burudani kutoka kwa wasanii kama Linah, Ommy Dimpoz, Recho, Khadija Maumivu, Young Killer Msodoki, Mr Blue, Stamina, Chege na Temba pamoja na Nay wa Mitego.
Fid Q akiwa na mchumba toka Geita
Full shangwe
Linah akitimiza ndoto za kijana wa Geita