Burudani

Picha: Wakazi wa Geita wapata shangwe za Serengeti Fiesta 2014

Shangwe za Serengeti Fiesta 2014 Jumamosi ya jana (14 September) zilidondoka ndani ya mkoa wa Geita katika ukumbi wa Desire na kuacha burudani ya nguvu kutoka kwa wasanii mbalimbali.

Mr Blue akiimba mashabiki
Mr Blue akiimba na mashabiki

Fiesta ambayo ni kwa mara ya kwanza kutoa buruduani Geita ilijumuisha burudani kutoka kwa wasanii kama Linah, Ommy Dimpoz, Recho, Khadija Maumivu, Young Killer Msodoki, Mr Blue, Stamina, Chege na Temba pamoja na Nay wa Mitego.

Fid Q akiwa  na mchumba toka Geita
Fid Q akiwa na mchumba toka Geita

Full shangwe
Full shangwe

Linah akiwa na Amini wa Geita
Linah akitimiza ndoto za kijana wa Geita

Mo Music akifanya yake

Nay wa Mitego

Nikki wa Pili akifanya yake
Nick wa Pili akifanya yake


Ommy Dimpoz akifanya yake
Ommy Dimpoz akifanya yake

Barakah Da Prince
Barakah Da Prince

Recho
Recho

Stamina
Stamina

Young Killer
Young Killer
IMG_7118

IMG_7170

IMG_7195

IMG_7205

IMG_7219

IMG_7221

IMG_7226

IMG_7235

IMG_7243

IMG_7262

IMG_7272

IMG_7274

IMG_7304

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents