Burudani

Picha: Vazi alilovaa Kim Kardashian jana mbele ya mumewe ni aibu!

Tunafahamu kuwa Kim Kardashian anapenda fashion, lakini kwa vazi hili alilokuwa amevaa jana mchana kweupe wakati yeye na mumewe Kanye West walikuwa wakikatiza mitaa ya jiji la Los Angeles Jumapili ya jana huenda likawa limezidi.

1413748462855_wps_5_Picture_Shows_Kanye_West_

Mrembo huyo mwenye miaka 33 aliamua kuwapa watazamaji show ya bure ya mgongo wake baada ya kuvaa kitop kilichoziba sehemu za mbele tu lakini nyuma kikamwaga radhi. Pengine maana ya kuvaa vazi hilo ni kumpa mumewe nafasi nzuri ya kuona mgongo wa mke wake kwakuwa mara nyingi Kanye alikuwa nyuma kuushuhudia bila kujali macho ya watu wengine.

1413760885242_wps_58_Junk_food_alert_Kim_Karda

1413748398504_wps_3_Picture_Shows_Kim_Kardash

1413755380026_wps_12_Picture_Shows_Kim_Kardash

1413755525861_Image_galleryImage_Picture_Shows_Kim_Kardash

1413760725428_wps_56_Junk_food_alert_Kim_Karda

1413760806100_wps_57_Junk_food_alert_Kim_Karda

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents