Picha

Picha: Vanessa Mdee na Nancy Sumari waiunga mkono kampeni inayowataka wasichana kujitambua

Asasi ya wanafunzi wa kike waliojitolea na kuchukua hatua ya kuwaelimisha wasichana wenzao kwa kuwafundisha haki zao, TEEN GIRLS SUPPORTIVE INITIATIVE jana imeendelea na kampeni inayohamasisha wasichana kujitambua kwa kupinga mimba za utotoni.

IMG_9419 (500x333)

Wasichana hao ni Lydia Chales,Janeth Edward na Scholastica Wilson jana walikuwa katika shule ya sekondari Jamhuri jijini Dar es Salaam na kuungana na wanawake wenye mafanikio katika nyanja tofauti wakiwemo Nancy Sumari, Emelda,Vanessa Mdee,Jokate Mwegelo na Joyce Kiria ambao waliwahamasisha wasichana walio kwenye shule hiyo kutambua haki zao na wajibu wao katika jamii.

Wnafunzi washule ya Seconfary Jamuhuri
Wnafunzi washule ya Seconfary Jamuhuri

IMG_9308 (500x333)

IMG_9319 (500x333)

IMG_9326 (500x333)

Vanesa nae aliongea machache na wanafunzi hao
Vanessa nae aliongea machache na wanafunzi hao

IMG_9366 (500x333)

Nancy akiongea na wanfunzi
Nancy akiongea na wanafunzi

IMG_9380 (500x333)

Imelda nae alisema machache
Imelda akizungumza machache

IMG_9413 (500x333)

IMG_9506 (500x333)

IMG_9419 (500x333)

Teen Girls Supportive na wageni walio waalika
Teen Girls Supportive na wageni waliowaalika
Wageni waalikwa Nancy Sumari,Imelda na Vanesa Mdee
Wageni waalikwa Nancy Sumari,Imelda na Vanesa Mdee

IMG_9452 (500x333)

Wasichana wa asasi hiyo walipata nafasi ya kujifunza sheria zinazowatetea kutoka TAWLA “TANZANIA WOMEN LAWYERS” na wakaamua kuanzisha TEEN GIRL SUPPORTIVE INITIATIVE ili kuwaelimisha wenzao juu ya haki zao na fursa wanazostahili kuzipata na pia kuendelea kuwahamasisha wasichana wote. Kauli mbiu yao inasema “Msichana jitambue uwe chachu ya maendeleo”.

IMG_9457 (500x333)

IMG_9465 (500x333)

IMG_9488 (500x333)

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents