Burudani

Picha: Vanessa Mdee ashiriki kwenye wimbo wa kampeni dhidi ya mauaji ya tembo Afrika Mashariki

Vanessa Mdee ameungana na wasanii wengine wa Afrika Mashariki wakiwemo Juliani wa Kenya, Emmanuel Jal wa Sudan na Syssi Managa wa Congo Brazzaville kwenye wimbo wa kampeni maalum dhidi ya mauaji ya tembo iitwayo, Ndovu Zetu.

11007977_1390306324617476_293528386_n
Kuanzia kushoto: Syssi Managa, Emmanuel Jal, Vanessa Mdee na Juliani

11024358_439931619488290_1575860977_n

Pia wasanii hao pamoja na kundi la Sauti Sol walitumbuiza kwenye Ndovu Zetu Concert kwenye viwanja vya burudani vya umoja wa mataifa jijini Nairobi.

11024413_1017895144904845_1051753981_n

Wasanii hao walishoot video ya wimbo unaohamasisha ulindaji wa wanyama husasan tembo. Wimbo huo unaitwa Tusimame.

11032810_1406128633031832_1163033002_n

10990592_1402771466697357_16061316_n

11024373_1535911710004635_1265437623_n

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents