Burudani
Picha: Uzinduzi wa video ya Shilole ‘Namchukua’
Shilole amefanya uzinduzi wa video ya wimbo wa ‘Namchukua’ Ijumaa hii kwenye kiota cha Coco Lounge maeneo ya Coco Beach,Dar es Salaam. Wadau wa muziki na wasanii mbalimbali walikuwepo kushuhudia uzinduzi wa video hiyo iliyofanyika Kenya. Tazama picha.
Diamond akiwa na washkaji
Warembo wakiburudika
Diamond, Nay wa Mitego na mshkaji
Shamsa na Madee
Julio na Kajala
Kajala
Nuh Mziwanda na Cooker the Don
Nuh Mziwanda,Baba Levo na Shilole wakiongea jambo
Queen Darling na Baba levo
Shilole team
Shilole akitoa burudani kidogo
Queen Darling
Shamsa,Nuh Mziwanda na mtangazaji wa Clouds, Zamaradi Mketema