Picha: Usahili wa wanamitindo wa Swahili Fashion Week wafanikiwa
Usahili wa wanamitindo watakaoshiriki kwenye Swahili Fashion Week ulifanyika jana katika Hotel ya Golden Tulip jijini Dar es Salaam
Wanamitindo mbalimbali wavulana kwa wasishana walionyesha uwezo wa kutembea na kuwafanya majaji wa usahili huo kupata wakati mgumu wa kuwachaguwa wazuri zaidi kutokana wanamitindo wengi kuonyesha kujipanga. Hata hivyo majaji walifanikiwa kuwapata vijana 30 ambao ni wazuri zaidi watakaonyesha mavazi ya wabunifu mbalimbali katika swahili fashion week. Tazama picha hizo hapa.
Majaji wakifanya usahili wa wanamitindo hapo jana,haikuwa kazi rahisi
Majaji wakimuuliza maswali mwanamitindo
Mustafa Hasanali akimtambulisha mwanamitindo wa kimataifa aliyekuwa pia ni jaji wa usahili huo
Mustafa Hasanali akitafakari jambo katika usahili wa wanamitindo
Vijana waliojitokeza kwenye usahili
Wanamitindo waliopita katika usahili huo
Wanamitindo wakifanyiwa usahili
Wanamitindo wakionyesha jinsi wanavyotembea