Burudani
Picha: Teddy Kalonga ashiriki kwenye kampeni moja na Jennifer Lopez, Jimmy Kimmel na mke wa John Legend, Chrissy Teigen
Aliyewahi kuwa mtangazaji wa EATV, Teddy Kalonga Haight aka TK ambaye kwa sasa anaishi nchini Marekani, ameshiriki kwenye kampeni moja pamaja na mastaa wa Marekani wakiwemo Jennifer Lopez, mtangazaji na mchekeshaji Jimmy Kimmel, mke wa John Legend, Chrissy Teigen na mastaa wengine wa Marekani kwenye kampeni ya Live L.A. Give L.A.
Kampeni hiyo inawataka wakazi wa Los Angeles Marekani kuchangia hospitali ya watoto jijini humo.
Bango la kampeni hiyo lenye picha ya Teddy na mwanae likionekana kwenye mitaa ya jiji la Los Angeles
Jennifer Lopez
Jimmy Kimmel
Chrissy Teigen