BurudaniPicha

Picha: Tazama jinsi Millen Magese alivyosherehekea siku yake ya kuzaliwa

Millen Magese aliongeza idadi ya miaka yake ya kuzaliwa December 31, 2016.

Kwa kuzingatia mengi anayopitia, aliamua kufanya birthday party ya kukata na shoka na kualika marafiki na watu wake wa karibu, nchini Afrika Kusini anakoishi.

Hizi ni picha alizoweka kwenye Instagram siku chache zilizopita kuonesha namna alivyosherehekea siku hiyo, of course pamoja na kuukaribisha mwaka mpya, 2017.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents