Burudani
Picha: Tamasha la Lady in Red lafanyika Dar Jumamosi
Jumamosi hii kwenye ukumbi wa King Solomon lilifanyika tamasha la mitindo la Lady in Red ambalo huandaliwa kila mwaka na designer mkongwe nchini Asia Idarous.
Tamasha hilo lilihudhuriwa na madasigner wakongwe akiwemo Mustafa Hassanali, Martin Kadinda na Ali Remtullah. Tazama picha zaidi hapa chini.