Picha: T.I, Davido, Waje na wengine waacha historia Serengeti Fiesta Dar 2014
T.I, Davido, Waje, Victoria Kimani pamoja na wasanii wa hapa nyumbani jana October 18 wameacha historia katika tamasha la Serengeti Fiesta lililofanyikia katika viwanja vya Leaders Club jijini Dar es Salaam.
Msanii wa Hip Hop kutoka Marekani, T.I.
Tazama picha za show hiyo.
Diamond alipanda na gwanda za jeshi
Diamond na Davido wakicheza kwa madaha
T.I ndani ya Leaders Club jijini Dar Es Salaam
T.I ndani ya Serengeti Fiesta Dar
Abdu Kila akionyesha uwezo wake
Ali Kiba katika vazi la kitamaduni
Davido na Diamond wakicheza Skelewu
Davido na Diamond ndani ya Fiesta Dar
Makomando wakifanya yao
Makomando
Msanii kutoka Kenya Victoria Kimani akionysha uwezo wake
T.I. akiwapa burudani wapenzi wa muziki wa DAR
Msanii wa muziki kutoka Dubai akionyesha uwezo wake
Msanii wa muziki kutoka Nigeriai
Ommy alionyesha uwezo wa kucheza jukwaani
Ommy Dimpoz na Vanessa
Recho akiwa na team yake
Shaa akifanya yake
Tip Top ikiongozwa na Madee
<img src="http://bongo5.com/wp-content/uploads/2014/10/Victoria-Kimani-akicheza-na.jpg" alt="" width="1200" height=”800″ class=”alignnone size-full wp-image-99797″ />
Victoria Kimani akicheza na Patoranking
Victoria Kimani akiimba
Victoria Kimani