Jana katika viwanja vya Dar Live palikuwa hapotoshi baada ya wasanii wa Tanzania House of Talent na wengine walipofanya show ya kutimiza miaka saba ya kuanzishwa kwa THT katika viwanja vya Dar Live. Wasanii waliotumbuiza ni pamoja na Mzee Yusuph,Ommy Dimpoz,Godzilla,Bibi Cheka,Dogo Aslay,Shetta,Jobiso na wengine.
Nash Designer
Ommy Dimpoz alipata shangwe la kutosha
Queen Darleen akiwa stejini
Queen Darleen
Queen na Nash
Recho akiwapagawisha
Recho na Linah
Recho
Shetta Mzee wa bonge la bwana
Shetta
Shilole
Sundi Gaga nae aliwasha moto
The Trio wakiwa stejini
Vida alipiga bonge la Show
Vida katika pozi
Vumi
Vumi,Recho,Linah na Queen D
Waimbaji Band ya THT
Wasanii wote THT wakiimba wimbo wa Happy Bday
Watu walikuwa nyomi siyo mchezo
Wazee wa vibega – Makomando
Ally Nipishe akiwapa raha mashabiki wake
Amazon Mzee wa Cheche Rumba
Amini Mzee Robo saa
Amini na Linah kwa pamoja hapo stejini
Asiya akiwa kwa stejini Mamaa wa miduahara huyo
Asiya katika pozi
Aslay na Bibi Cheka
Barnaba boy
Beatrice aka na Bisha akiwa stejini
Benpol mkali wao huyoo
Black,Devy na Abdul
Countri Boy akiwa stejini
Ditto alitoa bonge la show
Ditto akiwa stejini
Diva akiwapa Hi! mashabiki
Full mzukaaa
Godzilla na Bibi Cheka
Godzilla nae alitoa bonge la show
Happy Bday THT
Hivyo ndo vipaji vyote vya THT
Jobiso alifanya poa sana
Jobiso mmhh!!nibalaaa
Kalala Junior akimtunza Benpol
Kama vipi basi Kankalaga wana balaa hawa
Kankalaga wakiwa stejini
Kazi ipo
Kundi Jipya la Kankalaga
Kwea Pipa huyo mzee wa sasambu akiwa stejini
Mkali aliyepatika Fiesta na sasa yupo THT akijifua zaidi alitoa show poa sana
Mwasiti akiimbisha wimbo wa Bday ya THT