Burudani
Picha: Shilole aonesha tattoo mpya ya jina la ‘Nuh’ aliyochora kifuani
Shilole amewathibitishia mashabiki na ‘haters’ wake kuwa mapenzi yake na Nuh Mziwanda ni ‘Unstoppable’.
Staa huyo wa muziki na filamu ameonesha tattoo mpya aliyochora kifuani kwake yenye jina la mpenzi wake ‘Nuh’.
Katika post yenye picha hiyo Shishi ameandika “Lv ya ukweli inaongea”.
Mapenzi ya wawili hao yamekuwa yakikumbwa na dhoruba ya mara kwa mara lakini wameendelea kuwadhihirishia watu kuwa hawana dalili za kuachana kwasababu bado wa-’nakomaa na jiji’.