Burudani

Picha: Serengeti Fiesta 2014 Shinyanga ni shidaa

Show ya Serengeti Fiesta 2014 iliyofanyika Ijumaa kwenye uwanja wa Kambarage imefana baada ya wakazi wa mji huo kupokea shangwe za burudani kutoka kwa wasanii kibao wa muziki.

Ommy  akicheza wakati amelala na binti wa Shinyanga
Ommy Dimpoz akicheza na binti wa Shinyanga

Wasanii waliotumbuiza kwenye show hiyo iliyoanza saa nne za usiku ni pamoja na Nay wa Mitego, Ommy Dimpoz, Recho, Linah, Fid Q, Stamina, Young Killer, Khadija Maumivu, Mr Blue pamoja na Chege na Temba.

Full Shangwe
Full Shangwe Shinyanga

Katika hatua nyingine usiku huo ulikuwa ni siku ya kuzaliwa ya Ommy Dimpoz hali ambayo ilimfanya afanye show huku akiwa na mzuka wa hali ya juu.

Barakah Da Prince akiimba na wakazi wa Shinyanga
Barakah Da Prince akiimba na wakazi wa Shinyanga

Burudani
Burudani
DJ Fetty akisherekea serengeti fiesta 2014 akiwa nyumbani kwao Shinyanga
DJ Fetty akisherehekea Serengeti Fiesta 2014 akiwa nyumbani kwao Shinyanga

Chege
Chege

Linah akipanda juu ya stegi
Linah akipanda juu ya jukwaa

Temba na Chege
Temba na Chege

Linah
Linah
Mr Blue
Mr Blue
DJ Fetty akisherekea serengeti fiesta akiwa nyumbani kwao
DJ Fetty

Ice Boy akiwa na Young Killer
Ice Boy akiwa na Young Killer

Khadija Maumivu
Khadija Maumivu

Nay wa Mitego akiwa na Stamina
Nay wa Mitego akiwa na Stamina

Ommy akiwa na mtoto wa S
Ommy Dimpoz akiwa na mtoto wa Shinyanga

IMG_6629

IMG_6630

IMG_6641

IMG_6650

IMG_6664

IMG_6685

IMG_6697

IMG_6729

IMG_6732

IMG_6745

IMG_6767

IMG_6792

IMG_6817

IMG_6818

IMG_6820

IMG_6821

IMG_6823

IMG_6833

IMG_6841

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents