Picha
Picha: Serengeti Fiesta 2013, Tabora – Amini ambusu Linah jukwaani ‘Noma Sana’
Wasanii lukuki wa muziki wa kizazi kipya usiku wa jana wamewapatia burudani wakazi wa Tabora kwenye show ya Fiesta iliyofanyika kwenye uwanja wa Ally Hassan Mwinyi. Miongoni mwa mambo yaliyozalisha shangwe la kufa mtu ni pamoja na Amini kumbusu mdomoni mpenzi wake wa zamani Linah waliyependa naye kwenye stage. Tazama picha za namna mambo yalivyokwenda.
Serengesti fiesta 2013 Tabora ilianza saa 12 jioni kutafuta washindi wa shindano la Serengeti super nyota na baada ya hapo burudani zilianza kudondoka
Amini na Linah wakikumbushiana kama zamani
B12 akifanya mambo ndani ya Serengeti Fiesta 2013 Tabora
Wakazi wa Tabora wakifeel joto la Fiesta
Young Killa aka Msodoki akiwapa Dear Gambe