Picha: Runtown, Christian Bella, Navy Kenzo, Peter Msechu na Kala walivyotumbuiza kwenye BSS
Msanii wa muziki kutoka Nigeria, Runtown akisindikizwa na wasanii wa Tanzania, Christian Bella, Navy Kenzo, Peter Msechu, Yamoto Band pamoja na Kala Jeremiah walitumbuiza kwenye fainali za shindano la Bongo Star Search (BSS) zilizofanyika katika ukumbi wa King Solomon uliopo Namanga, jijini Dar es Salaam.
Runtown akionyesha maujanja yake
Licha ya burudani hizo kutoka kwa wasanii hao wakubwa, pia wasanii wa BSS walioingia top 6, walishindana na kuonyesha uwezo wao hali iliyoleta msisimko katika ukumbi huo. Tazama picha zaidi hapo chini.
Angel Marry Kato akionesha uwezo wake
Jackqueline Kakengi alianga mashindano mapema
Mashabiki wakimshangilia Christean Bella
Mshindi wa pili Nasib Fonabo akionyesha uwezo wake
Penny na mwenzake wakishauriana jambo
Washindi wa dance mia mia mwaka 2014 nao walitumbuiza
Washindi wote walioingia top six walizawadiwa simu aina ya Huawei P8
Washiriki mbalimbali walionyesha uwezo wao