Michezo

Picha: Real Madrid ya Hispania baada ya kutwaa ubingwa wa kombe lao la 11 la UEFA walivyo pokewa katika Jiji la Madrid

Klabu ya usiku wa May 28 2016 kwa kuwafunga wapinzani wao Atletico Madrid katika mchezo wa fainali ulio pigwa katika jiji la Milan, Italia uwanja wa San Siro, ilikuwa ni fainali inayohusisha timu kutoka jiji moja la Madrid.

34BD773C00000578-3614796-image-a-77_146450669793234BD6C1E00000578-3614796-image-a-45_1464504191608

34BDC59D00000578-0-image-a-85_1464511821930

Real Madrid walifanikiwa kutwaa Kombe lao 11, huku Atletico wakiambulia kushindwa kuweka rekodi ya kutwaa Kombe hilo kwa mara ya kwanza katika historia ya klabu yao, Real Madrid walifanikiwa kuifunga Atletico kwa mikwaju ya penati 5-3, hiyo ni baada ya dakika 120 kumalizika kwa sare ya goli 1-1.

34BD605100000578-3614796-image-a-4_1464503170204

Real Madrid waliwasili Hispania katika jiji la Madrid wakiwa na Kombe lao la 11 la UEFA nakupokelewa na mashabiki wengi walio jitokeza kwa wingi katika jiji hilo la Madrid.

34BD6C4700000578-3614796-image-a-44_1464504148538

34BD672500000578-3614796-image-a-9_1464503301070

34BDAE9600000578-3614796-image-a-89_1464511870207

34BD673D00000578-3614796-image-a-8_1464503271387

34BD756B00000578-3614796-image-a-71_1464506198205

34BD6C4C00000578-3614796-image-a-48_1464504236963

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents