Burudani
Picha: Q Girl ashinda Serengeti Diva Super Nyota Tabora
Mwanadada Q Girl ameibuka mshindi wa shindano la Serengeti Super Nyota Diva mkoani Tabora mwaka 2014 baada ya kuwabwanga washiriki wenzake wanane waliokuwa kwenye kinyang’anyiro hicho.
Mshindi Q Girl akipongezwa na DJ Fetty baada kutangazwa kuwa ni mshindi
Shindano hilo lililokuwa na majaji watatu lilikuwa na raundi mbili mpaka kumpata mshindi huyo ambaye ataungana na wenzake wa mikoa mingine kwenda Dar es salam kushindana na kumpata mmoja atakayefanya kolabo na Diamond.
DJ Fetty akifanya yake
Majaji wa wakijadili jambo
Top 4 Serengeti diva super nyota