Burudani

Picha: P-Square waiteka Dar, wafanya show kali na kuzikonga nyoyo za mashabiki

Jumamosi hii, P-Square wamefanikiwa kudhihirisha kwanini wao ni namba moja Afrika na wanastahili kuwa kundi la muziki linalolipwa fedha nyingi zaidi, baada ya kuzikonga nyoyo za mashabiki wa Dar es Salaam kwa show kali, yenye nguvu, ya kutikisa na ndefu kwenye viwanja vya Leaders Club.

Paul akipanda stejini
Paul akipanda stejini

P-Square ambao walisindikizwa na bendi yenye watu wanne tu (mpiga drums, mpiga kinanda, mpiga gitaa la bass na gitaa la solo), walitoa mfano wa namna live show inavyotakiwa kufanywa. Wakitaniana mara kwa mara jukwaani na kuendesha mashindano ya wao kwa wao, Peter na Paul Okoye walipiga show ya takriban masaa matatu, kwa kasi, nguvu na uwezo ule ule, kuanzia mwanzo hadi mwisho.

Peter akiimba wimbo kwa hisia kali
Peter akiimba wimbo kwa hisia kali

Ilikuwa ni mpaka usikilize kwa makini kutofautisha kile bendi hiyo na wao walivyokuwa wakiimba na wimbo uliorekodiwa, kwakuwa bendi hiyo kali inayojua muziki ilipiga nyimbo zao kwa ustadi mkubwa.

Paul akiimba kwa hisia
Paul akiimba kwa hisia pia

P-Square waliimba karibu nyimbo zote zao zilizotamba na kuufanya umati mkubwa uliojitokeza Leaders upige kelele muda wote na kuimba nao nyimbo hizo. Kwa maneno yao wenyewe, P-Square wamesema show ya Dar ambayo iliandaliwa na East Africa Radio na kudhaminiwa na Vodacom, ilikuwa ya kuvutia kuliko zote walizowahi kufanya Afrika Mashariki.

Pamoja na nyimbo zao, pia waliimba nyimbo za wasanii wengine kama Usher, 2face, Radio n Weasel na wengine.

Mpiga gitaa wa P-Square
Mpiga gitaa wa P-Square

Awali kabla ya P-Square, Ben Pol, Lady Jaydee na Joh Makini pamoja na Weusi walitangulia kwa show zilizoshangiliwa kwa kiasi kikubwa pia. Kwa ufupim show ya P-Square imefanikiwa sana.

Miongoni mwa matukio yaliyotia fora ni pamoja na mrembo huyo chini kupandishwa jukwaani na kupewa cheo (kwa utani) cha mke wa pili wa Peter aliyefunga ndoa juzi jijini Lago.

Onyinye - mrembo akifurahia
Mrembo aliyepandishwa jukwaani na P-Square kutambulishwa kama Onyinye wa Tanzania

Onyinye - Peter akimuaga mrembo

Onyinye - Peter amkibusu
Peter amkibusu mrembo huyo

Onyinye akivishwa saa na Peter
Onyinye akivishwa saa na Peter

Onyinye 1

Onyinye 2

Onyinye 3

Onyinye 4

Onyinye 5

Onyinye 6

Onyinye 7

Onyinye 8

Onyinye 9

Onyinye 11

Onyinye 12

Onyinye 13

Onyinye akiweka mkono avishwe saa

Onyinye

Paul akivuta hisia
Paul akivuta hisia

Paul akiwajibika jukwaani
Paul akiwajibika jukwaani

Paul Okoye
Paul Okoye

Peter akimsikiliza kaka yake Paul
Peter akimsikiliza kaka yake Paul

Peter akitafakari kitu
Peter akitafakari kitu

Peter akiuangalia kwa tabasamu umati mkubwa uliojitokeza Leaders Club
Peter akiuangalia kwa tabasamu umati mkubwa uliojitokeza Leaders Club

Peter akiwa haamini umati mkubwa uliojitokeza Leaders
Peter akiwa haamini umati mkubwa uliojitokeza Leaders

Peter mara baada ya kubaki kifua wazi
Peter mara baada ya kubaki kifua wazi

Peter mara baadaya kuvua nguo ya juu
Peter mara baadaya kuvua nguo ya juu

Profesa Jay
Profesa Jay

Waimbaji wa Machozi Band
Waimbaji wa Machozi Band

Weusi wakiwa stejini
Weusi wakiwa stejini

Ben Pol akisindikizwa na bendi ya Machozi akitoa burudani - Copy
Ben Pol akisindikizwa na bendi ya Machozi akitoa burudani

Ben Pol akitumbuiza
Ben Pol akitumbuiza

Joh Makini
Joh Makini

Lady akiwa ndani ya mavazi kama ya askari wa kike
Lady akiwa ndani ya mavazi kama ya askari wa kike

Lady Jaydee pamoja na Machozi Band akitumbuiza
Lady Jaydee pamoja na Machozi Band akitumbuiza

MC wa pili wa shughuli, T-bWAY
MC wa pili wa shughuli, T-bWAY

MC wa shughuli, Dulla akisherehesha
MC wa shughuli, Dulla akisherehesha

Mpiga gitaa wa P-Square
Mpiga gitaa wa P-Square

Nikki wa Pili baada ya kupanda kumpa shavu kaka yake Joh Makini
Nikki wa Pili baada ya kupanda kumpa shavu kaka yake Joh Makini

Nikki wa Pili
Nikki wa Pili

IMG_2760

IMG_2826

IMG_2867

IMG_2902

IMG_2951

IMG_3020

IMG_3024

IMG_3035

IMG_3047

IMG_3066

IMG_3076

IMG_3139

IMG_3174

IMG_3175

IMG_3186

IMG_3232

IMG_3361

IMG_3384

IMG_3385

IMG_7915

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents