Habari
Picha: One Billion Rising yafanya maandamano kupinga unyanyasaji wanawake
Ikiwa leo ni siku ya wapendanao duniani, taasisi ya One Billion Rising ikishirikiana na wadau mbalimbali wamefanya maandamano ya amani kupinga unyanyasaji wa wanawake.
Maandamano ya kupinga ukatili wa wanawake
Maandamano hayo ambayo yalianzia Msasani Club na kuishia Namanga, yamelenga kuihamasisha jamii kuachana na vitendo ambavyo zinawakandamiza wanawake. Angalia picha ambazo zina mabango mbalimbali yenye ujumbe.
Mabango yakiwa na ujumbe mbalimbali
Mpaka kieleweke
Nancy Sumari akitoa ujumbe
Kikundi cha ngoma kikionyesha mambo yao