Burudani

Picha: Ommy Dimpoz aparty na rapper The Game, Hollywood, Marekani

Ommy Dimpoz anaitumia vizuri ziara yake nchini Marekani. Baada ya kurekodi wimbo na producer wa Houston, Texas aliyewahi kutengeneza nyimbo za wasanii wakubwa wakiwemo Davido na Wizkid wa Nigeria, hitmaker huyo wa Tupogo amekutana na rapper wa zamani wa kundi la G-Unit, Jayceon Terrell Taylor aka The Game huko Hollywood, Los Angeles nchini Marekani.

772190782da611e3942122000aaa0535_8
Ommy Dimpoz akiwa na The Game (kushoto)

“Tulikuwa wote Club Hollywood, ni club ya mastaa,” Ommy ameiambia Bongo5.

“Jamaa analindwa sana lakini hakuleta pozi coz tulikuwa tupo na mshkaji wangu ambaye ni mshkaji wa Game pia.”

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents