Burudani
Picha: Omarion akatiza mitaa na mwanae wa mwezi mmoja, utacheka alivyombeba
Omarion ni baba mwenye furaha na ndio maana hivi karibuni alionekana akitabasamu tu akiwa amembeba mwanae wa kiume mwenye umri wa mwezi mmoja, Megaa Omari Grandberry.
Muimbaji huyo wa zamani wa kundi la B2K, alikuwa usiku akiwa na mama wa mwanaye, Apryl Jones huko Hollywood.
Tatizo ni jinsi alivyombeba sasa!!