Burudani

Picha: Ne-Yo aonyesha ukongwe wake katika show ya Jembeka Festival 2016

Msanii wa muziki kutoka Marekani, Ne-Yo ameandika historia ya muziki mkoani Mwanza baada ya kufanya show ya nguvu katika tamasha la Jembeka Festival 2016 lililofanyika Jumamosi hii katika viwanja vya CCM Kirumba Mwanza.
Ne-Yo akifanya yake
Ne-Yo akifanya yake

Muimbaji huyo alipanda jukwaani kwa shangwe na kuanza kuimba nyimbo zake moja hadi nyingine kwa hisia hali ambayo iliibua shangwe kubwa. Pia baada ya kuimba nyimbo zake kadhaa alimwita Diamond jukwaani na kuimba naye wimbo ambao ni kolabo yao inayokuja.

Wasanii wengine ambao waliwapagawisha mashabiki ni, Diamond, Stamina, Nay wa Mitego, Mr Blue, Maua Sama, Ruby, Mo Music, Barakah Da Prince na wasanii wengine. Tazama picha.
Waziri wa Habari, Utamaduni, Wasanii na Michezo,  Nape Nnauye akibariki show ya Jembeka Festival
Waziri wa Habari, Utamaduni, Wasanii na Michezo, Nape Nnauye akibariki show ya Jembeka Festival 2016.

Full shangwe
Full shangwe

Maua Sama
Maua Sama

Mkurugenzi wa Jembe FM, Sebastian Ndege akizungumza mawili, matatu kabla ya show kuanza
Mkurugenzi wa Jembe FM, Sebastian Ndege akizungumza mawili, matatu kabla ya show kuanza

Mo Music akiwa na dance wake
Mo Music akiwa na dance wake

Mo Music
Mo Music

Nay wa Mitego
Nay wa Mitego

Mr Blue
Mr Blue

Diamond akifanya yake
Diamond akifanya yake

Nay wa Mitego
Nay wa Mitego

Rubby
Ruby

Stamina (2)
Stamina

Stamina
Stamina

Britony
Britony

4K0A7799

4K0A7806 - Copy

4K0A7807 - Copy

4K0A7808 - Copy

4K0A7809 - Copy

4K0A7810 - Copy

4K0A7494

4K0A7604

4K0A7609

4K0A7702

4K0A7734

4K0A7751

4K0A7754

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents