Michezo
Picha: Nape Nnauye akabidhi rasmi ofisi kwa Mwakyembe
Hatimaye aliyekuwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnaye amemkabidhi ofisi Dkt Harrison Mwakyembe ambaye ndiye waziri mpya wa wizara hiyo aliyeteuliwa wiki iliyopita. Makabidhiano hayo yamefanyika mapema leo asubuhi kwenye makao makuu ya wizara hiyo yaliyopo mkoani Dodoma.
Hizi ni baadhi ya picha za makabidhiano hayo.