Burudani

Picha: Mwili wa Papa Wemba wawasili Kongo kwa ajili ya maandalizi ya mazishi

Mwili wa marehemu, Papa Wemba umewasili nyumbani kwao Kongo kwa ajili ya maandalizi ya mazishi.
epa05280392 The coffin carrying the body of Papa Wemba is carried into a memorial service for the late Congolese singer in Abidjan, Ivory Coast, 27 April 2016. The 66 year old influential Congolese musician Papa Wemba died after collapsing on stage during the Femua Music Festival in Abidjan 23 April 2016.  EPA/LEGNAN KOULA
Muimbaji huyo nguli alianguka jukwaani weekend iliyopita na kufariki wakati akiwatumbuiza maelfu ya mashabiki wake waliojitokeza katika tamasha la muziki mjini Abidjan Ivory Coast.

Mwanamuziki huyo ambaye ametajwa kuwa mmoja ya waanzilishi wa muziki wa kizazi kipya cha Soukous anatarajiwa kuzikwa siku ya Jumanne baada ya mwili huo kuwekwa katika uwanja wa mpira kwa raia kutoa heshima zao za mwisho

Papa-Wemba3

525063398

Papa-Wemba12-630x420

Papa-Wemba14-420x420

Papa-Wemba15-630x420

Papa-Wemba16-630x420

Papa-Wemba18-315x420

Picha: Epa,Mpasho

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents