Burudani
Picha: Mtoto wa Michael Jackson ‘Paris’ akava jarida la Flaunt akiwa na mpenzi wake
Mtoto wa Mfalme wa muziki wa pop, Michael Jackson ‘Paris Jackson’ amepiga picha kwa gharama kubwa na zitaonekana kwenye jarida la Flaunt. Katika jarida hilo Paris amepiga pozi za mahaba akiwa na mpenzi wake Michael Snoddy. Mtoto huyu wa MJ amekuwa mstari wa mbele kwenye familia yao kupenda umaarufu kama wa baba yake tofauti na watoto wengine wa Michael Jackson. Tazama picha zao.