Picha
Picha mpya mbaya za Agnes Masogange zatinga tena mtandaoni
Picha mpya za malkia wa video za muziki nchini Agness Gerald maarufu kama Agnes Masogange, zimesambaa tena mtandaoni.
Picha hizo zinaonesha kuwa ziliwekwa kwenye akaunti yake Instagram yenye jina ‘aggnesfineassgirl’ ambayo hata hivyo tayari imefutwa. Katika picha hizo, Agnes anaonekana akiwa na mpenzi wake wakiwa kwenye mahaba mazito.
Hii si mara ya kwanza kwa picha za mrembo huyo kusambaa mtandaoni. Mwaka jana video yake inayomuonesha akicheza kama striper mbele ya mpenzi wake kabla ya kuanza kubusiana ilisambaa mtandaoni.